Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Gud tu famMambo vp watu wa MUNGU!

Gud tu famMambo vp watu wa MUNGU!

ha ha ha ha najua nikienda kulala saa 11 nitaanza kuota ndoto nzuri; wale waliolala mapema si ajabu sasa hivi wanaota ndoto za kukimbizwaNdio upo macho umeamua kuzi subiria sio?
Aluta kontinyowàlinzi mpo gado?
Noma mkuuUjalala tu we mzeeunapambana na baridi umeamua

Utalala weweWote hoi meshalala mapema hivikwisha habari yenu.
Kama kawaida tupo kwenye majukumu yetu.wàlinzi mpo gado?
ha ha ha ha najua nikienda kulala saa 11 nitaanza kuota ndoto nzuri; wale waliolala mapema si ajabu sasa hivi wanaota ndoto za kukimbizwa


Huwa sizipendi hizo ndoto kabisa bora uote unakula bata unamijengo yako ndinga kali nk.. Ukiamka asubuhi unajikuta uko na mia yako mbovu.Hii ngoma nzito halali mtu hapa saiz.Utalala wewe
Subiria kuganda tu huko ulipo kama unalala peke yakoNoma mkuu
Sent using![]()



Basi tupo pamoja kiongozi hadi mtondogooHii ngoma nzito halali mtu hapa saiz.
Mkuu umenikumbusha hili neno zamani tulikuwa tunadanganywa maana yake ni kwamba karuka kautimua.Aluta kontinyo
Gud Gud.Basi tupo pamoja kiongozi hadi mtondogoo
Mapambano yanaendeleaMkuu umenikumbusha hili neno zamani tulikuwa tunadanganywa maana yake ni kwamba karuka kautimua.
Najua hiko ni kireno mkuu hizo zilikuwa mambo za àkina Samora MasheliMapambano yanaendelea
Nimesikia kunakupatwa kwaa jua piaLeo ndio siku ya kina baba sasa sisi tusiokuwa mafather inabidi tutulie hakuna namna.
Aaah hiyo imenipita sijaisikia hata ukiwa bachelor ndio mambo kama haya napishana nayo muda wa saa 2 nipo jikoni na rekebisha na ndio muda wa taarifa ya habari lohNimesikia kunakupatwa na jua pia

Pole chifu jf ni zaidi ya habari 📺Aaah hiyo imenipita sijaisikia hata ukiwa bachelor ndio mambo kama haya napishana nayo muda wa saa 2 nipo jikoni na rekebisha na ndio muda wa taarifa ya habari loh![]()