JamiiForums Usiku wa manane
Kama nakuona vile...

Napenda sana mtu akipendeza, sio mchoyo wa kusifia kabisa...tupia dogo nikusifie
Kwanza Tai yenye nilimuona jux kavaa na mm nikaitafuta hiyo hiyo nikapata nayo kwenye huo usiku huwezi kunichota ukaiyona hiyo picha alafu mbaya zaidi sikuwahi post kokote hapa ndio mara ya kwanza nimepost huwa napost nikivaa matrack na Jeans tu.
 
Hiyo suit ni miaka 12 ndio nilivaa nitakuwa nayo mpaka leo mzee wangu

Hiyo suit ya blue ilikuwa ni dressing code inasema suit ya blue na tai ya maroon ndio niliumiza hivyo kwenye hiyo picha hapo ndio nilikuwa nafika nikapata kupiga picha moja ya kumbukumbu
Kwa maana hiyo huna kumbukumbu ya hilo tukio? Basi hiyo itakuwa zile style za mchele mchele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza Tai yenye nilimuona jux kavaa na mm nikaitafuta hiyo hiyo nikapata nayo kwenye huo usiku huwezi kunichota ukaiyona hiyo picha alafu mbaya zaidi sikuwahi post kokote hapa ndio mara ya kwanza nimepost huwa napost nikivaa matrack na Jeans tu.
Hii acha hizo dogo. Una bahati PM yangu imeharibika la sivyo ningekuja kuiona.

Hizo track zisiwe tu zile Adidas, vijana wa Mwananyamala wanazimodoa mpaka ukimuona unajisikia hovyo
 
Back
Top Bottom