JamiiForums Usiku wa manane
Huko Matombo? Hebu baelezee ilikuwaje mzee?

Sent using Jamii Forums mobile app
Matombo!? Nilialikwa bhana na bi mkubwa fulani ilikuwa sherehe ya Ekaristi hizi mm nikamwambia nitakuja akasema haya, Basi mm nikawa nimevaa T-shirt na Jeans nafika pale akaniambia sasa ndio umevaaje hivyo rudi kavae vizuri bhana utakuwa huingia hapa basi ikanilazimu nirudi nikachange wakati huo nilikuwa na suit ya kitambaa nyeusi ambayo imepita na mistari meupe ndio suit iliyokuwa inatamba wakati huo.

Muhuni nikipiga hiyo suit nikaipa na kuzibao, koti na tai juu nilikuwa na bonge ya ngwasuma chini hapo sindio nikaenda bhana kwenye shughuli embwa wee nafika kwenye shughuli watu walijua labda mm ndio mwenye shughuli kwajinsi nilivyo piga vitu vigeregere vingi sana hapo alafu mm sio mwenye shughuli nikabaki na shangaa tu kuna mama akasema jamani huyo sio mwenye shughuli ilikuwa noma kweli yani nilijisikia ovyo aibu naona mm
 
Matombo!? Nilialikwa bhana na bi mkubwa fulani ilikuwa sherehe ya Ekaristi hizi mm nikamwambia nitakuja akasema haya, Basi mm nikawa nimevaa T-shirt na Jeans nafika pale akaniambia sasa ndio umevaaje hivyo rudi kavae vizuri bhana utakuwa huingia hapa basi ikanilazimu nirudi nikachange wakati huo nilikuwa na suit ya kitambaa nyeusi ambayo imepita na mistari meupe ndio suit iliyokuwa inatamba wakati huo.

Muhuni nikipiga hiyo suit nikaipa na kuzibao, koti na tai juu nilikuwa na bonge ya ngwasuma chini hapo sindio nikaenda bhana kwenye shughuli embwa wee nafika kwenye shughuli watu walijua labda mm ndio mwenye shughuli kwajinsi nilivyo piga vitu vigeregere vingi sana hapo alafu mm sio mwenye shughuli nikabaki na shangaa tu kuna mama akasema jamani huyo sio mwenye shughuli ilikuwa noma kweli yani nilijisikia ovyo aibu naona mm
hiyo suti sio mchele mchele kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ilikuwa ni bei ghali mm niliilazimsha mpaka mama alinishonea nazani ndio nguo bi mkubwa alinunulia za gharama mno kwa wakati huo nilikuwa nikiingia church na hiyo kitu ilikuwa ni noma napigwa jicho kinoma na kila mtu
Sisi wengine tomaso, tupia hata kapicha ku support your justification. Otherwise, utakuwa unapiga porojo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom