Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Sema unaona soo kutupia picha ya mchele mchele hapaHuwezi nijaza kirahisi hivyo![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema unaona soo kutupia picha ya mchele mchele hapaHuwezi nijaza kirahisi hivyo![]()
Tupo kwa jeuri ya chama. Karibu tuliendelezeWalinzi mpo? Nawasalimia..
Hiyo hapo
Nipo..
Church na rubber tena 😀 na beach Kidimbwi utavaa nini?Church na vaa rubber![]()
Wacha kutufanya sisi mapoyoyo chalii yangu. Umesema suti nyeusi mbona hiyo ya blue kama umetoka kwenye kurekodi wimbo wako mpya wa kwaya mzee.Hiyo hapo View attachment 1481985
Beach slipper tu, church sinaga makubwa maana pale nimaombi basi, kwenye shughuli za kualikana ndio huwa naumiza kidogo siwezi kwenda kinyonge itabidi twende nao sawa tu..Church na rubber tenana beach Kidimbwi utavaa nini?
Hiyo suit ni miaka 12 ndio nilivaa nitakuwa nayo mpaka leo mzee wanguWacha kutufanya sisi mapoyoyo chalii yangu. Umesema suti nyeusi mbona hiyo ya blue kama umetoka kwenye kurekodi wimbo wako mpya wa kwaya mzee.
Kiatu imetulia.
Sent using Jamii Forums mobile app


Una kucha za kueleweka? Tuanzie hapo kwanza 😂😂Beach slipper tu, church sinaga makubwa maana pale nimaombi basi, kwenye shughuli za kualikana ndio huwa naumiza kidogo siwezi kwenda kinyonge itabidi twende nao sawa tu..
Kama za kike vile au unataka na pichaUna kucha za kueleweka? Tuanzie hapo kwanza![]()




Suti style ya 'yooooh' natamani nimuone huko kwa juu, mjaze jaze basi atupieWacha kutufanya sisi mapoyoyo chalii yangu. Umesema suti nyeusi mbona hiyo ya blue kama umetoka kwenye kurekodi wimbo wako mpya wa kwaya mzee.
Kiatu imetulia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukinisindikiza na kapicha itakuwa poa sana...nasubiriKama za kike vile au unataka na picha![]()
Aaah wapi hilo haliwezekani lakini nilinoga sana picha ya full msahau.Suti style ya 'yooooh' natamani nimuone huko kwa juu, mjaze jaze basi atupie


Kama nakuona vile...Aaah wapi hilo haliwezekani lakini nilinoga sana picha ya full msahau.![]()
Kwahiyo huamini sio? sina kucha mbaya kabisa ambazo zinanifanya nisivae slipper.Ukinisindikiza na kapicha itakuwa poa sana...nasubiri

Mkifika kwenye kupaka rangi mnishtue nije kuchanganya rangi.Sio wakati wa kuvuta shuka, amkeni mkajenge Taifa,mpandishe uchumi umeshuka![]()