Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Mzee wangu kama offsir wa TRAAmbae hajang'arisha buti asubuhi akija armourer kurejesha silaha mdeki wa supu utamhusuuuuu.View attachment 1481980

Mzee wangu kama offsir wa TRAAmbae hajang'arisha buti asubuhi akija armourer kurejesha silaha mdeki wa supu utamhusuuuuu.View attachment 1481980

Hapana utanifilisi wewe njoo mchana ukija hasubui utakaa hadi mdomo ukukaukeNafika asubuhi kabisa naanza na supu mpaka dinner.
Umeshaanza uchoyo sasa hatutokujaHapana utanifilisi wewe njoo mchana ukija hasubui utakaa hadi mdomo ukukauke

Afande mnaaa nahitaji uje smart kurudisha siraha huwezi itunza siraha ukiwa rough.Gwaride la ukaguzi huwa linaanza ndio tunatawanyika kwenda maeneo yetu ya lindo. Wengine sasa hivi tumejaa vumbi
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh tumepishana mkuu.Kuna mlinzi aliyekuwepo msamvu Moro muda huu? Natokea Dom tukutane hapo
Umeanza hivyo hutaniwi! Njoo hata sasa hiviUmeshaanza uchoyo sasa hatutokuja![]()
Umeenda kulala ?Duh tumepishana mkuu.
Afande mnaaa nahitaji uje smart kurudisha siraha huwezi itunza siraha ukiwa rough.



hapo utakuwa unatuchimba. Unajua kuwa lindo lina mambo mengi. Wengine mida hii wapo gizani huko wanagegedana kwenye mavumbi. Wakija rejesha silaha wananuka janaba. Je utavumilia?Nimeenda mkoani mkuu.Umeenda kulala ?
Mbembeleze huyo hakawii kususa.Umeanza hivyo hutaniwi! Njoo hata sasa hivi
hapo utakuwa unatuchimba. Unajua kuwa lindo lina mambo mengi. Wengine mida hii wapo gizani huko wanagegedana kwenye mavumbi. Wakija rejesha silaha wananuka janaba. Je utavumilia?
Sent using Jamii Forums mobile app














kweeeli kazi za majeshiii weeee...Hapo unapiga cadet na shart ya mikono mirefu mixer na tai unaingia uraiani kuchukua code zakonomaa


We mzee wa kutupia Sana aiseeeHapo unapiga cadet na shart ya mikono mirefu mixer na tai unaingia uraiani kuchukua code zako![]()

Asubuhi ndio itapendeza mpaka dinner nitakuwepoUmeanza hivyo hutaniwi! Njoo hata sasa hivi

Inategemea unaingia sehemu gani kuna sehemu unalazimika kufanya balaa kama hilo huna hata 100 lakini unawaka mpaka watu wanakuogopaWe mzee wa kutupia Sana aiseee![]()


wanasema huyu atakuwa Afsa fulani 


Sure itakulinda japo kuna wakati unaweza pishana na fursa watu wakikuogopaInadegemea unaingia sehemu gani kuna sehemu unalazimika kufanya balaa kama hilo huna hata 100 lakini unawaka mpaka watu wanakuogopawanasema huyu atakuwa Afsa fulani
![]()

Ni kugangamalaaaaaaa tu mkuu
