chiqutitta
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 1,160
- 3,125
Mmh! Niko na hamu sana ngoja niisubiri hiyo surprise kubwaTegemea surprise kubwa.
Mmh! Niko na hamu sana ngoja niisubiri hiyo surprise kubwaTegemea surprise kubwa.
[emoji51] nataka vitu vikubwa vikubwam hata ukitaka mchanga wa nnapotoka nabeba sinaga hiyana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nakuona hapo unavyo teseka na hiyo shauku..Mmh! Niko na hamu sana ngoja niisubiri hiyo surprise kubwa
Yani bora hata usingeniambia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nakuona hapo unavyo teseka na hiyo shauku..
1+ Age with grace dear. Mungu akujalie afya njema utimize malengo.Walinzi wenzangu June 18 mrembo alizaliwa happy birthday chiqutitta
Nitakuletea, nitabeba na winch vingine usijali[emoji51] nataka vitu vikubwa vikubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muda utaongea.Yani bora hata usingeniambia
Amina Peter ubarikiwe sana [emoji120][emoji120][emoji120]1+ Age with grace dear. Mungu akujalie afya njema utimize malengo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huchelewi kuniletea skonzi weweNitakuletea, nitabeba na winch vingine usijali
Fanya uje mapema basi ndo utajicheleweshaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muda utaongea.
[emoji38]hamna ni suprise tu subiriHuchelewi kuniletea skonzi wewe
Nafika asubuhi kabisa naanza na supu mpaka dinner [emoji23][emoji23].Fanya uje mapema basi ndo utajicheleweshaa
Mkuu upo vizuri sana. Ila bahati mbaya gwaride la ukaguzi limepitaAmbae hajang'arisha buti asubuhi akija armourer kurejesha silaha mdeki wa supu utamhusuuuuu.View attachment 1481980
Kwa nini mkuu[emoji28][emoji28]Mkuu upo vizuri sana. Ila bahati mbaya gwaride la ukaguzi limepita
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya wacha nisubiri [emoji55][emoji38]hamna ni suprise tu subiri
Gwaride la ukaguzi huwa linaanza ndio tunatawanyika kwenda maeneo yetu ya lindo. Wengine sasa hivi tumejaa vumbiKwa nini mkuu[emoji28][emoji28]