Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
Hilo tu usijaliNtaomba uniamshe nikisinzia
Hilo tu usijaliNtaomba uniamshe nikisinzia
Umeanza kubadlikaYani nisirudi halafu ulale usingizi mnono kasema nani?!
Duuh na huku kuna wapwa tenaaa, nimewakimbia Twitter maana ni miyeyusho balaaa content ni kuinuana tu.Mmewahi sana wapwa
Duuh na huku kuna wapwa tenaaa, nimewakimbia Twitter maana ni miyeyusho balaaa content ni kuinuana tu.


waache wapwa wainuane Duuuh kwa sasa nikiingia Twitter ni kwenye page ya kigogo na baadhi ya raia afuu ndukiiii yani lasivyo unatoka na makasiriko yasiyo na msingiwaache wapwa wainuane
Hata mm mkuu naliona miyeyusho ila tutafanyeje ss

Rais wa twitter anasemaje?Duuuh kwa sasa nikiingia Twitter ni kwenye page ya kigogo na baadhi ya raia afuu ndukiiii yani lasivyo unatoka na makasiriko yasiyo na msingi![]()
Duuuh kwa sasa nikiingia Twitter ni kwenye page ya kigogo na baadhi ya raia afuu ndukiiii yani lasivyo unatoka na makasiriko yasiyo na msingi![]()
naingia kumsaka kigogo na habari zake zakutisha pia halafu natembeaKamanda kafanyaje tenaMwamba anaendelea vizuri, View attachment 1481962