Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Usiwaze tutaibuka.Tuna wenyeji tayari huko, weka harakati sawa mzee
Usiwaze tutaibuka.Tuna wenyeji tayari huko, weka harakati sawa mzee
Sio wabunifu wasanii wa kizazi hii.Na usipoimba matusi hakuna manager atakeyetaka mziki wako so wengi wamekuwa fuata upepo.
Huyo ndio Legend hip-hop producer wangu. Na ngoma nyingi alizozisimamia bado zinasikilizwa mpaka sasahuwezi kupenda hip hop kama humpendi Dr Dre utakuwa unasikiliza taarabu na sio hip hop.
Ninajiamini kupita kiwango. Na pia sio mgeni wa awards. Ila hii I'm still puzzled. Of all the people globally, but me. Leo ungekuwa karibu yangu ningekunywesha hadi ushindwe mwendo.Jiamini mzee wangu kuwa you deserve hiyo kitu.
Na ndiomana wasanii wengi wa bongo flavour hawadumu kwenye game. Hawa unaowaona mpaka watengeneze kiki kuvuta masikio ya mashabiki alafu ndio waachie ngoma 😂😂Sio wabunifu wasanii wa kizazi hii.
mzee vp mbona kicheko?
Nimoja ya watu nakuwa namsikiliza Dr Dre,Snoop,Diddy, 2pac sio sana, Eminem nk...Huyo ndio Legend hip-hop producer wangu. Na ngoma nyingi alizozisimamia bado zinasikilizwa mpaka sasa
Pombe sio vitu vyangu labda misosi ningenyoosha sana.Ninajiamini kupita kiwango. Na pia sio mgeni wa awards. Ila hii I'm still puzzled. Of all the people globally, but me. Leo ungekuwa karibu yangu ningekunywesha hadi ushindwe mwendo.
Whatever. Ila msosi huwa haupo kwenye maana ni lazima kwa kila binadamu. Sema hata ungetaka akina Hamida 4, ningegharamikaPombe sio vitu vyangu labda misosi ningenyoosha sana.
ndio maana madee anawambia "naniyi watangazaji kwann wambea ngoma mbovu alafu bado mnateta kwa hali hii ndio maana wanapotea" shenzi type 🤣 🤣 🤣 🤣Na ndiomana wasanii wengi wa bongo flavour hawadumu kwenye game. Hawa unaowaona mpaka watengeneze kiki kuvuta masikio ya mashabiki alafu ndio waachie ngoma 😂😂
Hizo show ni za King mswati sio vitu vyangu pia msosi ndio kipaumbele changu.😛Whatever. Ila msosi huwa haupo kwenye maana ni lazima kwa kila binadamu. Sema hata ungetaka akina Hamida 4, ningegharamika
Poa vp?Namna gani humu ndani leo
Hao ndio hiphopers wenyewe wa kizazi chetu. Asiyewakubali hao basi hip-hop haijuiNimoja ya watu nakuwa namsikiliza Dr Dre,Snoop,Diddy, 2pac sio sana, Eminem nk...
Ndio utajua kama na wewe ni Muswati wa Bigwa au MinduHizo show ni za King msawati sio vitu vyangu pia msosi ndio kipaumbele changu.😛
Salama, karibuNamna gani humu ndani leo
Atakuwa hip hop kaijulia ukubwaniHao ndio hiphopers wenyewe wa kizazi chetu. Asiyewakubali hao basi hip-hop haijui

Leo huto lala basi kwa furaha.Ndio utajua kama na wewe ni Muswati wa Bigwa au Mindu