JamiiForums Usiku wa manane
Na ndiomana wasanii wengi wa bongo flavour hawadumu kwenye game. Hawa unaowaona mpaka watengeneze kiki kuvuta masikio ya mashabiki alafu ndio waachie ngoma 😂😂
ndio maana madee anawambia "naniyi watangazaji kwann wambea ngoma mbovu alafu bado mnateta kwa hali hii ndio maana wanapotea" shenzi type 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom