I do agree with you dudemaudhui ndio kila kitu kwenye sanaa.
Oky shukran kwa maelezoDuh umenipa position tayari?!
Nimeongea kile nikifahamucho kuhusu hip-hop
Nimeliona neno lako

Stay safe thenOky shukran kwa maelezo
Na kushare ujuzi![]()
Ahsante kwa kutulindaMbaki salama
Napenda hip hop since nipo childish ndio music nimeusikia sana wakati nakua.I do agree with you dude
That's good of you. Kila mtu anachokipenda hasusani kwenye music. Mi kwakweli bongo flavour ya sasa siipendi kabisa.Napenda hip hop since nipo childish ndio music nimeusikia sana wakati nakua.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 upo vizuri docta DreDuh umenipa position tayari?!
Nimeongea kile nikifahamucho kuhusu hip-hop
Nimeliona neno lako
Sitambi ila siamini kama ningeweza kupata hiyo kitu. Cuz inatolewa once a year mzee na winner ni mmoja tu. Kiukweli leo sipo vizuri maana bado nashangaa.Unatamba sio?
Jamaa adimu sana siku hiziAll is good with me. Niliadimika kodogo
Matusi mengi wamekuwa sio wabunifu tena maudhui hawana kabisa siku hizi wamebaki watu wachache wasioimba matusi.That's good of you. Kila mtu anachokipenda hasusani kwenye music. Mi kwakweli bongo flavour ya sasa siipendi kabisa.
Yeah nimepewa nafasi adhimu kwenye mziki wa Hip-hop😀😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 upo vizuri docta Dre
Tuna wenyeji tayari huko, weka harakati sawa mzee😆 😆 😆 😆 na ww upo mbeya!
Haha nitarudi kama zamani, majukumu yananifanya niadimike kiasi. Ila tupo pamojaJamaa adimu sana siku hizi
Jiamini mzee wangu kuwa you deserve hiyo kitu.Sitambi ila siamini kama ningeweza kupata hiyo kitu. Cuz inatolewa once a year mzee na winner ni mmoja tu. Kiukweli leo sipo vizuri maana bado nashangaa.
Na usipoimba matusi hakuna manager atakeyetaka mziki wako so wengi wamekuwa fuata upepo.Matusi mengi wamekuwa sio wabunifu tena maudhui hawana kabisa siku hizi wamebaki watu wachache wasioimba matusi.
Usipotee sana mzee. PamojaHaha nitarudi kama zamani, majukumu yananifanya niadimike kiasi. Ila tupo pamoja
huwezi kupenda hip hop kama humpendi Dr Dre utakuwa unasikiliza taarabu na sio hip hop.Yeah nimepewa nafasi adhimu kwenye mziki wa Hip-hop😀😀
Umejuaje? Namkubali sana Dr Dre
UsijariUsipotee sana mzee. Pamoja