JamiiForums Usiku wa manane
Nilienda kwa Mganga ndo narudi now niende kwa Babu yako
Muongo kwa status zile na nguo ile umetoka kwa mchepuko.
Babu ukienda weka sura ya kazi chimba mkwara sana.
Mie nimechimba sana mkwara leo kwenye simu ametuma na mawasiliano yameisha.
Sasa mchekee chekee mwisho atakutongoza vizee vya mjini hivo.
 

Maisha bana sijui hata yana maana gani kama Mambo yenyewe ndo hivi..
Mkuu leo nimepitia hicho kitabu nimeuelewa sana mstari wa 11
Screenshot_2020-06-05-04-04-41-48.jpg
 
Sijakubali maana ndoto nyevu huambatana na mtoto mrembo. Sasa generator ambalo ni bati na vyuma kwa kweli inapaswa Stephen Chelu aje athibitishe.
😂 😂 😂 😂
Mkuu hata mimi huwa sielewi ilitokeaje, labda nilikuwa na mood sana siku hiyo....

Halafu wewe drizzle na super villian siku za mbele nije kuwa mkuu wa wilaya au kibosile flani hivi halafu mfukue makaburi haya sijui nini nyevu, ntasweka wote rumande hamtakaa muamini yaani.😂😂😂 😂
 
😂 😂 😂 😂
Mkuu hata mimi huwa sielewi ilitokeaje, labda nilikuwa na mood sana siku hiyo....

Halafu wewe drizzle na super villian siku za mbele nije kuwa mkuu wa wilaya au kibosile flani hivi halafu mfukue makaburi haya sijui nini nyevu, ntasweka wote rumande hamtakaa muamini yaani.😂😂😂 😂
Ujue we jamaa duh! Upo vizuri kwenye comedy.

Hayo makaburi hakuna atahaingaka nayo na pia tutaheshimu mamlaka 😂😂
 
Back
Top Bottom