Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
water falls ya maana inayovutia mno zishafanyiwa video nyingi sana hapo kwanza.Kuna maajabu gani?
water falls ya maana inayovutia mno zishafanyiwa video nyingi sana hapo kwanza.Kuna maajabu gani?
Ule nn miguu tu haipigi hatua maana nguvu hainakwanza unaweza usiwe hata na hamu ya kula.

Nakubaliana na utaratibu huu
😆 😆 😆 😆 😆 mkirudi mnaweza lala siku nzima nyie msitembe kesho yake.
Umenihamasisha kwenda kuona hii kitu. Weekend ntapanda zanguwater falls ya maana inayovutia mno zishafanyiwa video nyingi sana hapo kwanza.
Umenikumbusha niliwahi kwenda hiking na wanangu. Duh! Hakuna kitu inachosha kama kupanda vilima. Ilibidi nivumilie tu ili nisionekane bwege. Lakini zile trails ni balaa.Ule nn miguu tu haipigi hatua maana nguvu haina
Dereva akifunga break na ww unafunga wakati break huna![]()
😆 😆 😆 😆 😆 sema kuna raha yake utakula strawberry njiani mpaka ususe mwenyewe unajichumia zakutosha.Ule nn miguu tu haipigi hatua maana nguvu haina
Dereva akifunga break na ww unafunga wakati break huna![]()
Kama sio mtu wa mazoezi kesho huamki. Misuli inauma utafikiri ulichezea bakora za kutosha.😆 😆 😆 😆 😆 mkirudi mnaweza lala siku nzima nyie msitembe kesho yake.
pazuri hutajuta kwenda huko.Umenihamasisha kwenda kuona hii kitu. Weekend ntapanda zangu
Nitafanya hivyo mzeepazuri hutajuta kwenda huko.
😆 😆 😆 😆 😆Kama sio mtu wa mazoezi kesho huamki. Misuli inauma utafikiri ulichezea bakora za kutosha.
Hujakutana na hicho kisanga mzee? Usiombe yaani😆 😆 😆 😆 😆
Hapana lakini huwa inachosha sana kupandisha mlima kesho yake lazima mwili viungo viume kama kawaida.Hujakutana hicho kisanga mzee? Usimbe yaani
Nilikuwa naongozana na wale jamaa lakini nawatukana kimoyomoyo. Nikitafakari kufika kileleni then kurudi unatamani uwakatae jamaa.Hapana lakini huwa inachosha sana kupandisha mlima kesho yake lazima mwili viungo viume kama kawaida.
😆 😆 😆 😆 Ulijitakia matatizo we mwenye kumbe.Nilikuwa naongozana na wale jamaa lakini nawatukana kimoyomoyo. Nikitafakari kufika kileleni then kurudi unatamani uwakatae jamaa.
Ulikuwa muoga sana ww. 😆 😆 😆 😆Nilipokuwa mdogo kama tunaenda sehemu za maporini na mabroo. Nikiona mabati nyumba siyaoni, najua huku mbali. Hapo nitafanya mbinu nibaki nyuma nyuma then natoroka kurudi home.
Hivi unafikiri unakataaje? Hiyo inapangwa wiki nzima. Na sometimes mnaregister kabisa kama utashiriki. Na hujawahi kufika huko lazima ugangamale. Ila milima yao sio ya kitoto mzee.😆 😆 😆 😆 Ulijitakia matatizo we mwenye kumbe.