JamiiForums Usiku wa manane
Hawezi vumilia shida huyo sio?
Ataweza wapi . Hapo unabeba lawama za bure kabisa.

Umenikumbusha tulikuwa tunacheki pilau huko uboyzini. Kuna mwamba tumekaa nae nyuma kabisa ya darasa. Goma limekwisha tunashtukia tupo pale kwenye screen . Sasa jiulize alifikaje ilhali hata hakunyanyuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ataweza wapi . Hapo unabeba lawama za bure kabisa.

Umenikumbusha tulikuwa tunacheki pilau huko uboyzini. Kuna mwamba tumekaa nae nyuma kabisa ya darasa. Goma limekwisha tunashtukia tupo pale kwenye screen . Sasa jiulize alifikaje ilhali hata hakunyanyuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usimalizie utapewa ban kabisa
 
huwa napenda sana kusikiliza nyimbo ambazo nilikuwa nasikia kipindi nakuwa zinanirudisha utotoni.
Hiyo ndio feeling halisi ya muziki. Inakupeleke kwenye matukio ambayo si rahisi kuyakumbuka. Mathaalani enzi hizo ukiandikiwa barua na manzi wako lazima achore maua na makopakopa then unapigwa bonge la dedication song. Hapo barua utalala nayo wiki nzima unasoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndio feeling halisi ya muziki. Inakupeleke kwenye matukio ambayo si rahisi kuyakumbuka. Mathaalani enzi hizo ukiandikiwa barua na manzi wako lazima achore maua na makopakopa then unapigwa bonge la dedication song. Hapo barua utalala nayo wiki nzima unasoma

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee nimekula sana pipi fulani hivi za kopa kopa zilikuwa nikama dawa sijui kama unazijua.
 
Back
Top Bottom