Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Ataweza wapiHawezi vumilia shida huyo sio?


. Hapo unabeba lawama za bure kabisa. Umenikumbusha tulikuwa tunacheki pilau huko uboyzini. Kuna mwamba tumekaa nae nyuma kabisa ya darasa. Goma limekwisha tunashtukia tupo pale kwenye screen



. Sasa jiulize alifikaje ilhali hata hakunyanyuka.Sent using Jamii Forums mobile app
