Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Ndio nafika lindo hapa.
Namaanisha niliadimika kwa sababu ya usingiz.
Ndio nafika lindo hapa.
Mambo vipi brotherSaint Anne nakuona tu
Basi sio hizo nilizodhani.Hizo za makopakopa zilikuwa za vijiti ila hizo peremende hazina vijiti ni kama golori hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko poa kabisa mkuuMambo vipi brother
Ohh safi sana. Njoo tujumuike na mdogo wako Super Villain leo yupo hapa analisongesha.Ndio nafika lindo hapa.
Namaanisha niliadimika kwa sababu ya usingiz.
Mwenyekiti si ww bhana.Ohh safi sana. Njoo tujumuike na mdogo wako Super Villain leo yupo hapa analisongesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sindio nafasi yako siku zote



Namuona.Ohh safi sana. Njoo tujumuike na mdogo wako Super Villain leo yupo hapa analisongesha.
Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo age nilishapita mudaNamuona.
Juzi naye walimsema kwamba anaota ndoto Nyevu![]()
nasingiziwa hizo tuhuma sio za kweli.Leo kaona alinde lango ili kuclear hizo shutumaNamuona.
Juzi naye walimsema kwamba anaota ndoto Nyevu![]()


Siumechaguliwa ww na walinzi wote wa hapa kuwa ww ndio kiongozi wetu



Bado miaka kama 3 hivi ndio utapita hiyo stageHiyo age nilishapita mudanasingiziwa hizo tuhuma sio za kweli.
Naelekea uzee tu saiz hakuna kingine

Uwenyekiti huu wa hapa kweli naukubali nalifikiri yale mambo yenu na mng'atoSiumechaguliwa ww na walinzi wote wa hapa kuwa ww ndio kiongozi wetu![]()


Usikimbilie uzee, maana ukija haunaga hodi wewe mwenyewe automatically utajivua gambaNaelekea uzee tu saiz hakuna kingine![]()
Nafasi yako si AmbassadorUwenyekiti huu wa hapa kweli naukubali nalifikiri yale mambo yenu na mng'ato
Sent using Jamii Forums mobile app


Umeshakuja teyari.Usikimbilie uzee, maana ukija haunaga hodi wewe mwenyewe automatically utajivua gamba
Sent using Jamii Forums mobile app