JamiiForums Usiku wa manane
Ungejua usinge ongea kabisa muulize simiss akuambie nimetoka ndevu niko na 16 age mapema sana nikiziachi huwa najina nabadilika uswailini kila mtu ananiita lake.
Kwani ndevu ndio ukubwa au kuisha kwa ndoto nyevu? Kila mtu anajua ukisha balehe kuanzia age ya 14 kwa mtoto wa kiume lazima nywele zijae mwilini. So hiyo si excuse mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom