Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Ungejua usinge ongea kabisa muulize simiss akuambie nimetoka ndevu niko na 16 age mapema sana



nikiziachi huwa najina nabadilika uswailini kila mtu ananiita lake.Ungejua usinge ongea kabisa muulize simiss akuambie nimetoka ndevu niko na 16 age mapema sana



nikiziachi huwa najina nabadilika uswailini kila mtu ananiita lake.Poa poaKwema uku
Hapa kuna chamana basiNtakuwa nawasalimu bwana, hata kama sijui mnachoongea!


we weka hata story ya uwongo tutaishi nayo vizuri.Kabisa.Ile usipoielewa lazima uone chenga nyingi kama mimi mwanzoni..
Ee leo unaweza vua nguo zote ukabaki na boxer akuna atakaye kuchungulia kabisa tupo kiumeni.
Kwani ndevu ndio ukubwa au kuisha kwa ndoto nyevu? Kila mtu anajua ukisha balehe kuanzia age ya 14 kwa mtoto wa kiume lazima nywele zijae mwilini. So hiyo si excuse mzeeUngejua usinge ongea kabisa muulize simiss akuambie nimetoka ndevu niko na 16 age mapema sananikiziachi huwa najina nabadilika uswailini kila mtu ananiita lake.


Ni kama utani vile ilivyo kwenda haijapishana sana na ya wiz Khalifa - see you again..Hili liwimbo limegonga zaidi ya 2B views.Sielewi hata ni kwanini.
ww umesema sina hata ukoko mm nimeshamaliza kuota nyewele sehemu zoteKwani ndevu ndio ukubwa au kuisha kwa ndoto nyevu? Kila mtu anajua ukisha balehe kuanzia age ya 14 kwa mtoto wa kiume lazima nywele zijae mwilini. So hiyo si excuse mzee
Sent using Jamii Forums mobile app



Aiseee.....Hapa kuna chamana basiwe weka hata story ya uwongo tutaishi nayo vizuri.
Ukijaribu tu kuvua utashangaa akina chiqutitta wameibuka ghafla bin vuruguEe leo unaweza vua nguo zote ukabaki na boxer akuna atakaye kuchungulia kabisa tupo kiumeni.


Yani sielewi ule wimbo una nini yani, heri See you Again najua chanzo chake nini lakini Despacito, bado sijaulewaNi kama utani vile ilivyo kwenda haijapishana sana na ya wiz Khalifa - see you again..

Unaogopa nn sasa wakati upo na boxer hapa sikama Beach leoUkijaribu tu kuvua utashangaa akina chiqutitta wameibuka ghafla bin vurugu
Sent using Jamii Forums mobile app




Ntachangamka mkuu na hizi ID za usiku tu! Nikishindwa ntatambaza Likes tu kama Mkwepu!Kwahiyo inabidi uchangamke sasa![]()
Melody tu na kile kispanish mwana kajikuta katisua tu kwenye maviwers anakula mpaka leo.Yani sielewi ule wimbo una nini yani, heri See you Again najua chanzo chake nini lakini Despacito, bado sijaulewa

Beach na wabongo wapi na wapi? Utashangaa tu boxer imetuna pale kunako kwa kuangalia tu misambwandaUnaogopa nn sasa wakati upo na boxer hapa sikama Beach leo![]()



Ntachangamka mkuu na hizi ID za usiku tu! Nikishindwa ntatambaza Likes tu kama Mkwepu!



Huyo mwana usimtaje huwa anapita kama upepo nasubiria tu siku aongee chochote kitu basi.Simju huyu mtu hata mm sio mkongwe humu bado labda wakulungwa watakuwa wanamjua mm chenga hapa.Hivi Maserati amepotelea wapi naye ?