JamiiForums Usiku wa manane
mm wanangu walikuwa wakisikiliza nyimbo za kizungu kina 2pac, Diddy, Nas,MJ,Rkelly nk.. ndio niliokuwa nasikia kipindi nakuwa kwahiyo na mm nikaanguka humo humo kwenye hip hop na Rnb.
Ndio hivyo sasa. Kila kitu kinategemea na watu wanaokuzunguka. Nikikumbuka zile R&B na Hip hop old skulls nazimika kichizi. Akina mase, Jah rule, Ashanti, Shakira, TLB, B2M, etc...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom