JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Daah ila Latinos wanajua kusapotiana acha kabisa! Hata kwenye ujinga [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Muziki ni kitu cha ajabu sana huwa siachi kujiuliza hili swali maana nawashangaaga wale watu wanao penda masebe, bolingo nk.. sijui huwa wanapata hisia gani maana mm huwa hata sielewi kabisa wale watu.
 
mm wanangu walikuwa wakisikiliza nyimbo za kizungu kina 2pac, Diddy, Nas,MJ,Rkelly nk.. ndio niliokuwa nasikia kipindi nakuwa kwahiyo na mm nikaanguka humo humo kwenye hip hop na Rnb.
Ndio hivyo sasa. Kila kitu kinategemea na watu wanaokuzunguka. Nikikumbuka zile R&B na Hip hop old skulls nazimika kichizi. Akina mase, Jah rule, Ashanti, Shakira, TLB, B2M, etc...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom