MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,452
- 69,332
Ahsante sana ChiquitittaUsiku mwema nawapenda nyote.
Ahsante sana ChiquitittaUsiku mwema nawapenda nyote.
Basi hizi mpya ndio sielewi kabisa yani uelewa wangu umeishia kwa vendor alipo muuwa master wake ambaye alikuwa ni Samuel Jackson. Kuendelea hapo najionea mauzauza.Anza na The Phantom Menace, The Clone Wars, Revenge of the Sith, New Hope, Empire Strikes Back kisha Return of the Jedi. Hizi Force Awakens, Rogue One, Return of the Jedi na The Rise of Skywalker zitakuchanganya mkuu na huwezi kuzipenda![]()
Ooh we ukikuta hivyo tia neno hapo hapo hiki ni kilinge kuna watu wanaongea humu hawapumziki wakianzaKuna siku nakuta mnakuwa mmenogewa na mazungumzo, halafu unajua siyo vzuri kukatisha mazungumzo ya watu bwana.![]()



Yule alikuwa anaitwa Mace Windu,....Hebu fuatilia huo mlolongo nilioweka naamini utazipenda tu!Basi hizi mpya ndio sielewi kabisa yani uelewa wangu umeishia kwa vendor alipo muuwa master wake ambaye alikuwa ni Samuel Jackson. Kuendelea hapo najionea mauzauza.

Hiyo kazi nitaanza nayo weekend nimeshapiga screenshot teyari.Yule alikuwa anaitwa Mace Windu,....Hebu fuatilia huo mlolongo nilioweka naamini utazipenda tu!
Ntajitahidi hivyohivyo mkali, japo mara nyingine huwa sielewi ambacho mnakuwa mnazungumzia na ID nyingi hata sizifahamu kabisa, zinakuwa active usiku tu🤣🤣🤣🤣Ooh we ukikuta hivyo tia neno hapo hapo hiki ni kilinge kuna watu wanaongea humu hawapumziki wakianza![]()
Jaribu tu, naamini utazipenda sanaHiyo kazi nitaanza nayo weekend nimeshapiga screenshot teyari.
PamojaAhsante sana Chiquititta
Ntajitahidi hivyohivyo mkali, japo mara nyingine huwa sielewi ambacho mnakuwa mnazungumzia na ID nyingi hata sizifahamu kabisa, zinakuwa active usiku tu![]()


Yani ww inaonekana huwezi uvuragizi kabisa unaongea chochote tu 
Nitajaribu naweza nikapata cha kuhadisia na mm maana nilikuwa naona mauzauzaJaribu tu, naamini utazipenda sana





We bado sana, hata ukoko wa shingo haujakwishaAge hiyo ilishapita kitambo sana![]()



Ntakuwa nawasalimu bwana, hata kama sijui mnachoongea!Yani ww inaonekana huwezi uvuragizi kabisa unaongea chochote tu
![]()
Gud hommie.Kwema uku
Ile usipoielewa lazima uone chenga nyingi kama mimi mwanzoni..Nitajaribu naweza nikapata cha kuhadisia na mm maana nilikuwa naona mauzauza![]()
Hili liwimbo limegonga zaidi ya 2B views.Sielewi hata ni kwanini.Luis fonsi ft dady yankee & justine bieber - despacito![]()