fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,684
- 24,003
Sina ishu ya kunipeleka wala kupitia hukoDom kuna umbali gani?
Sina ishu ya kunipeleka wala kupitia hukoDom kuna umbali gani?
Haitishi, iko laini laini hado haijakomaaUna uhakika sauti yako inatisha.?
Of course yes as a part of strengthening your relationship. Inajenga hisia flani hivi za kipekee sanaShukrani mkuu, natumaini zitakuwa msaada.
Yaani siku nikijua fresh huyo girlfriend wangu atajuta. Kila siku nitakuwa namualika aje nimuimbie😀😀😀
Tupo singleNi muda wa ‘morning glory’ au bado.?
Haitishi, iko laini laini hado haijakomaa
Ukiingia usingizini ni wewe mwenyewe umetaka.Basi naiona kabisa ‘njama’ yako kunitia usingizi.
Ndiyo vizuriMnajinyima sana, mtazeeka na malighafi![]()
😀 😀 😀 😀Nilifikaga Nov kwa mara ya kwanza, nilipauka acha kabisa 😂😂😂
Ukiingia usingizini ni wewe mwenyewe umetaka.
Halafu sorry madame nilijua hiyo reply umeni'quote mimi, sijui ndo usingizi unaninyemelea upya..!Dar
Si ety? fyddell
Pia kingine kinachoweza kukusaidia google "piano coach for beginners"Shukrani mkuu, natumaini zitakuwa msaada.
Yaani siku nikijua fresh huyo girlfriend wangu atajuta. Kila siku nitakuwa namualika aje nimuimbie😀😀😀
Sana, halafu na ujuzi unaongezeka maana ni laxima uhakikishe unatoa show kali ili usiabike so baada ya muda fulani unakuwa kontaa.Of course yes as a part of strengthening your relationship. Inajenga hisia flani hivi za kipekee sana
Sema kuna muda upepo wake unakuwa sio mbaya, ilikuwa march mwishoni mpaka April kule Makutupora upepo wake ulinitakatisha hadi nikatamani nisiondoke 😀😀 😀 😀 😀
Huku lazima upauke aisee, ila ni mikoa mingi iko hivi.
Niliwahi fika longido, aisee...ni kama niko mvumi vile...