JamiiForums Usiku wa manane
Cookie nataka kujua mfano nikitaka kuwa mod wa humu nafanyaje ni bure tu najitolea sitaki hela wala chochote labda kama kuna malipo hapana mm nataka kujitolea tu nifanyeje au kuna njia gani natakiwa kufuata iliniwe mod na mm?
 
Sikumbuki vyema tena, mliniboa sana.
Mmesababisha mpaka sasa sifahamu kama Fatuma Karume kama ana familia ama laah.

(Halafu kuna mod anaitwa Farida pls mfikishie salamu zangu kama ukionana nae hapo ofisini)

Aisee

Ulianza kumuulizia Fatma

Sasa unataka salamu nifikishe ofisini

JamiForums hakuna Mod anayetumia ID ya Farida
 
Cookie nataka kujua mfano nikitaka kuwa mod wa humu nafanyaje ni bure tu najitolea sitaki hela wala chochote labda kama kuna malipo hapana mm nataka kujitolea tu nifanyeje au kuna njia gani natakiwa kufuata iliniwe mod na mm?

Wakati nafasi za kazi zinapotangazwa hapa unakuwaga wapi?

Nafasi za kazi za JamiiForums
 
Back
Top Bottom