bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,651
Hii keyboard yangu naona imeanzakuniletea zile swaga za kuandika matusi bila taarifa.
Naona settings zimefyatuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii keyboard yangu naona imeanzakuniletea zile swaga za kuandika matusi bila taarifa.
Dah basi sawa mkuu we utakuwa umesoma enzi za stadi za kazi na maarifa ya jamiiHata sijui ni hadithi gani hiyo mzee wangu.
Dah basi sawa mkuu we utakuwa umesoma enzi za stadi za kazi na maarifa ya jamii
Wahenga tulisoma Sayansi kilimo
Sent using Jamii Forums mobile app


Elimu ya kibongo ni upuuzi tu stadi za kazi haijasaidia chochote tu.Elimu ya kibongo ni upuuzi tu stadi za kazi haijasaidia chochote tu.



Ah acha tu ni kupelekana pelekana tu uzee usogeeNdiwooo jamaniHivi mrembo bado upo TA?
AwwwHahaha karibu sana juice ya tende mchanganyiko na limao, ushawahi kunywa weye?




Sijui kwanini waliiweka kwenye mtaala/sylabus😂Elimu ya kibongo ni upuuzi tu stadi za kazi haijasaidia chochote tu.
Kuwachanganya watoto tu na kuwabebesha daftari nyingi tu.
Nzuri tuh dearSalama za kwako
Alafu kuna sehemu nilikuita ukala kona binti Sakayo. 🤔Awww![]()
Ni ujinga ujinga aliyeleta wazo la lilesomo sijui alifikiri nn yeyeSijui kwanini waliiweka kwenye mtaala/sylabus![]()

Will pay you a visit one dayNdiwooo jamani
Wapi huko tena jamani!!Alafu kuna sehemu nilikuita ukala kona binti Sakayo.![]()
Wapi huko tena jamani!Alafu kuna sehemu nilikuita ukala kona binti Sakayo. 🤔
Usingizi yaani nawahi kulala siku hiziKaribu lindoni ur late![]()
Will pay you a visit one dayNdiwooo jamani
Ndiwooo jamani
Nitakukumbusha tu wala usijari😊Wapi huko tena jamani!
Siwezi kukula kona mimi jamani