Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Ukishalala kuamka hata kunywa maji tu ladha inakuwa tofauti sana.

maj yana radha gan kaka Yana ladha kunywa ya mvua na bombani utagundua huo ni mfano tu simple,maj yana radha gan kaka
Me Naona yko tasteless
Hivi hiz Story za ukila ukajing'ata Kun ukweli wowote Aisee nimejipiga bite Kali aisee
I'm on that good kush and alcohol

Kwahiyo kuna mtu anakusema usiku huu wote! Mm siamini kwenye hii stori
Umepata?
Hapa si daku ya V. I. P unavutwa tu ndani unaenda kutia hasara tu.






OoohhhUmefanya vyema.
Raia wanakujaga kiminyato kiminyato ile leo yupo na kesho hayupo.
Consider it's done.Ooohhh
Basi wakikuja wasalimie saaana jamani
yah mvua yanayo radhaYana ladha kunywa ya mvua na bombani utagundua huo ni mfano tu simple,Kwahiyo kuna mtu anakusema usiku huu wote! Mm siamini kwenye hii stori

Labd mechanism iko tofaut unakut alifanya Wakat Mimi sili chakula,We kaa mbali shauri yako utakutana na ukoko ukirudi.
Kumbe eeehhh
yah mvua yanayo radha
Labd mechanism iko tofaut unakut alifanya Wakat Mimi sili chakula,
So nakula ndio imekuja response
I'm on that good kush and alcohol




Wahenga bhana





Nipo hapa hapa nahesabu dkWe kaa mbali shauri yako utakutana na ukoko ukirudi.
Blessed dearConsider it's done.
Bado nahangaika etiUmepata?
Si uombe msaada my dear?Bado nahangaika eti
Kweli leo umeamua 😊😊Nipo hapa hapa nahesabu dk
Natafta series ya young justice season 1&3 mm naona uvivu kushushaSi uombe msaada my dear?
Nimecheka sana mkuu, hivi kuna day owl? 😆😆Wahenga bhana
Wazee Night Owls Pamoja Sanaa
![]()
I'm on that good kush and alcohol