Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Nipo gud, ndio umepita kuchungulia au tupo wote mpaka saa 8 huko?
Nipo gud, ndio umepita kuchungulia au tupo wote mpaka saa 8 huko?
Leo ndio naziona ujue ndio maana nauliza!
Nimepita tu kuchungulia..Nipo gud, ndio umepita kuchungulia au tupo wote mpaka saa 8 huko?
JF hizi Ads zimeanza lini kwenye app huku![]()
Naomba uitimize kabla sijalalaAf ile promise bado naikumbuka..nitaitiimiza. visoap dish hoyee

Em kapeleke jukwa la maoni na malalamiko 😂Leo ndio naziona ujue ndio maana nauliza!
aaaaha I kill all of them with one bullet
All seven of them??
RANGO akatoka macho
Yes all seven of them
Huyu mwamba namkubali kinouma Mkwala wake si wa kitoto
Napenda sana iyo avatar yako ya immortal joh half man half mashine mwamba ni hatar uyo



mikwara ya Rango nikama mikwara ya polisi wetu wa Tz hapa.Zipo siku ile nimekusubiri sana hukuja nilikasirika mnooMambo? Kesho nafuata mask zangu![]()

Utaratibu?Acha fujo wewe, watu ni werevu wanafuata utaratibu.
Cheers![]()

Vipi sasa ile picha yangu we miss?
Tushaanza kulipa bill sasa.Kwangu nimeziona leo, oooh jana... disgusting.![]()
Njoo Leo basiUtamu wa kitu uje pasipo kutarajia..
stay tuned kesho na lazma nitimize
Andaa mazingira sio nakuja kutana na kufuri
Nimeweka kule uzi wa selfie..Vipi sasa ile picha yangu we miss?
Aah haya mambo ndio siyawezi kufanya kabisa maana najua nini maana ya hizi Ads.Em kapeleke jukwa la maoni na malalamiko![]()
Utaratibu?![]()

Kesho nitazifuata wala usijali sizipo 10 umeniwekeaZipo siku ile nimekusubiri sana hukuja nilikasirika mnoo![]()
