Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Nasubiri pichaYani huu ndio ujanja unaotumia kuninasa mm dah.
Yangu utaiona Wala usijali..nitakutag sehemu niliyoweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri pichaYani huu ndio ujanja unaotumia kuninasa mm dah.



Za maua maua kuweka mdomoni hapana, mara paap nyuki hawa hapa![]()







Mtakatifu Anne wewe upendaye kuona visoap dish tena kwa shauku kuu "unihurumie" ..kama RC vilee







Embu nitag kwanza maana mm nilishapiga picha toka siku ile nakusubiria ww tu unioneshe yako?Nasubiri picha
Yangu utaiona Wala usijali..nitakutag sehemu niliyoweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu nitag kwanza maana mm nilishapiga picha toka siku ile nakusubiria ww tu unioneshe yako?
Ngojangoja huumiza matumbo.subira yavuta kheri

Uko poa?Juzi Jana na Leo
00:40hrs
Angalia post za Leo kwenye ule uzi utaionaEmbu nitag kwanza maana mm nilishapiga picha toka siku ile nakusubiria ww tu unioneshe yako?
Sijawahi kuiona naionea wapi mzee wangu selfie mm kule naendaga basiHujawahi kuiona au unatania

Toka kitumbo au unaogopa kuharibu hiyo zero packNgojangoja huumiza matumbo.
Usitake tumbo langu likajaa kitambi na gesi kwa kuumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe unapitapita kuleSijawahi kuiona naionea wapi mzee wangu selfie mm kule naendaga basi![]()



Hii adhabu unanipa kuna post ngapi sasa zimepostiwa kule leo? Hii ni noma na nusu ujue unayonipa!Sijawahi kuiona naionea wapi mzee wangu selfie mm kule naendaga basi![]()
HahahahaToka kitumbo au unaogopa kuharibu hiyo zero pack