Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Naona kwenye tv yangu asilia ..ukiingia room akili huwa unaziacha mlangoni![]()


haswaaaaa naziacha wakati nakumuta miguuHaya bana...tunajifunza kila siku.Swali zito..
ila yeah huwa namiss vitu kama binadamu wengine ila kuna vitu ukishavifukia.. unaachana navyo tu na hutovimiss tu
Brother nakukabidhi funguoI'm here
Sawa kesho niko off lindoBei tutamalizia kesho kukiwa hakuna kiwingu.
tufanye next dayTyping error aiseeHukujua unajua ndio nini sasa. Ndio ushajua sasa.
Haya bana...tunajifunza kila siku.
Usiondoke mdogo wetu is hereeeeeBrother nakukabidhi funguo
Nimekusoma mkuuTyping error aisee
Hahah mh. Mwenyekiti ban za hapa na pale zinasumbua sana ila akidi imetimia kikao kinaweza kuendelea.we jamaa nimecheka sana. Unajua VC Super Villain alikuwa anakuulizia sana. Atafurahi kukuona hapa ili apate mawili matatu.
Niko poa bro vp wewe?
Unayekula kula nae ndio kathibitisha mzeeUrojo naujulia wapi mimi
Karibu sana mh. VCShutuma gani tena hizo?
Nilijua tu 😂...Nakimbia soon hapa leo nipazito![]()