JamiiForums Usiku wa manane
we jamaa nimecheka sana. Unajua VC Super Villain alikuwa anakuulizia sana. Atafurahi kukuona hapa ili apate mawili matatu.

Niko poa bro vp wewe?
Hahah mh. Mwenyekiti ban za hapa na pale zinasumbua sana ila akidi imetimia kikao kinaweza kuendelea.

Mh. VC naona uchovu unamsumbua ni full kulala mapema lkn mm namwelewa saana ule uchovu hua sio wa kawaida hahah.

Aisee mkuu huku kwema,mzee baba tunataka kuwatumia ATCL mrudi home ila nahisi mtagoma aisee,hahah.
 
Back
Top Bottom