Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Sawa ngoja nikae kimya
Haya ngoja nikuongeleshe basiSawa ngoja nikae kimya
Haya ngoja nikuongeleshe basiMimi nawewe hatudanganyani bwana.Haya embu nidanganye tena sasa![]()
Nataka kulala hukoHaya ngoja nikuongeleshe basi
Haya hadi utoe sadaka
Kabisa mm na ww tena uwongo hakuna.Mimi nawewe hatudanganyani bwana.
AmenKabisa mm na ww tena uwongo hakuna.
Uniombee tasavali.Naingia kwenye maombi, nikimaliza narudi hapa!
Good Boy, utaiona mbingu
Dah haya bhana kalale nitakuamsha saa 4 ule dakuNataka kulala huko

Uniombee tasavali.
Usijali kabisa, hasa lile ombi lako lileUniombee tasavali.
Ewaaaah...hicho ndicho ulichokisahau Sasa.Dah haya bhana kalale nitakuamsha saa 4 ule daku![]()
Yes hilo hiloUsijali kabisa, hasa lile ombi lako lile
Nimeamka apa nafikiria kuanza kujifukiza kwa tangawizi na limau



Huwa mkisema hivi lazima nicheke sasa.