Sim Card
JF-Expert Member
- Dec 30, 2019
- 881
- 1,605
This is me wimbo mkali sana. Shusha na nyingine basi si unajua leo weekend ndio tunajiburudisha na disco letu la quarantine.
Kama unavyojua kuomba kupokezana hadi kunakucha. Karibu kwenye maombi.Maombi yakianza mniamshe
Ooh sawa , huwa unapendelea nyimbo zq aina gani ?This is me wimbo mkali sana. Shusha na nyingine basi si unajua leo weekend ndio tunajiburudisha na disco letu la quarantine.
Ingia na viatu vyako mkuuHodi lindoni
Hasa zile za kubembelezana zikiwa old schools ndio mzuka wangu zaidi.
Hasa zile za kubembelezana zikiwa old schools ndio mzuka wangu zaidi.
Dah utatukuta tunaishia kuingia mbinguniMaombi yakianza mniamshe
Learn! Learning never exhaust the mindHow did you know all those people Mkuu?![]()
Kama ni hivyo mambo dangachee 😂😂
Tushtuane muda wa maombi tu...sasa hvi muendelee na mapambioDah utatukuta tunaishia kuingia mbinguni
I wanna grow old with you - WestlifeKama ni hivyo mambo dangachee![]()
Kuna watu walijaliwa kwakweli. Hasa Da Vinci,Tesla,Newton,Socrates na Plato.Unajua shida inakuja wapi Da Vinci ? Wanadamu huwa tunapenda kudanganyana sana kwamba wote ni wabunifu. Nakuhakikishia watu wabunifu duniani ni asilimia chache mno, wengi wetu tunakuwa na elimu na ufahamu lakini uwezo wa kubuni vitu ni Trait ambayo watu wachache sana wanayo.
Watu kama hawa hawaiangalii dunia kama ambavyo mimi na wewe tunaitazama huwa wanakuwa tofauti kabisa hata kitabia.
Sadaka mje nazo please
Wale tunaosubiri muda wa daku tunakaa pembeniSadaka mje nazo please