Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,120
Safari ikianza nishtue....Hahahaha ndio uwepo sasa
Safari ikianza nishtue....Hahahaha ndio uwepo sasa
Amen, Asante sana! Haya weka chombo cha sadakaPambana...Mungu ni mwema.
Ambao hatuna cash tunafanyajeAmen, Asante sana! Haya weka chombo cha sadaka
Tuma kwa namba yangu tu
Nikikucheki kwenye voda wanasema umefungiwa kwa muda nitafute njia mbadala ya kuwasiliana na weweTuma kwa namba yangu tu
Achana na vodaNikikucheki kwenye voda wanasema umefungiwa kwa muda nitafute njia mbadala ya kuwasiliana na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
sijui tukafanye wapi saiz maana safari hii ulininyoisha kweli.
kiherehere kwisha kazi niliimalizaUliacha kunitolea?Amen, Asante sana! Haya weka chombo cha sadaka
Nilisahau ndugu yangu!Uliacha kunitolea?
Tulia hapo hapo unahitaji maombi ya deliverance
All the best na wewe huko, utuwakilishe vyema kama Group tafadhaliMlinde vyema wapendwa
kiherehere kwisha kazi niliimaliza
Bila ww kutarajia



Dah kweli uliniweza wala sikutegemea kabisa niko kwenye mikakati alafu ukaibuka kama mzimu ghafla
cheo kimepanda saiz unanyota
1
Waaai kumbe nalinda watu wanaokula tunda la mti wa katikati. Sime nimeiacha juu ya kibanda kwa pembeni nimeondoka na tochi msiitafute.Siwezi kufa kizembe mimi.

