simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Pamoja mkuu...Leo mpak nakabidhi mzee mdogo mdogo
Pamoja mkuu...Leo mpak nakabidhi mzee mdogo mdogo
Leo umefeli utakimbia wwUtakimbia tu....nasubiria

Yes..kuna moja inaitwa lion's hill (white ni glass ya kwanza ya pili usingizi huo
Smirnoff nikikiona tu kitanda au kiegemeo chochote

Leo nimekamatika nakabidhi funguo saa 12 kwa kamanda simissUtashindana na usingizi?
Usisahau kuaga tuLeo umefeli utakimbia ww![]()
Hatare tupu ni mwendo wa kujifukiza ubani badala ya mvuke mwanzo mwisho![]()


Kuna watu unaweza ukasema nyumba inaungua kumbe anajifukiza huo Moshi wake.Sindio ile inamaandishi ya dhahabu?
Mie nimeshona ukuje nikupe vipo vingi jilinde bado tunakuhitaji mlinzi mwaminifuSasa kama mtaalamu hataki kuvaa mm nivae ya nn mask zenye zinautata mtupu hizi loh![]()
Usijali mpaka majogoo utapata hela ya kongoro asubuhi kwanza unakulaga?Leo hadi sisi walinzi wavivu tumefufuka mimi nipo hadi alfajiri
Mmmmmh 🤔🤔🤔Eehh mwache simiss apumzike....alikuwa na siku ndefu sana...
Haha kisa kiegemeo?Kuna swali nilitaka kuuliza hapa lakini naona ni noma na nusu kuuliza hapa unaweza pewa block ya siku 2 dah![]()
Ninakuamini ila nimeshauri tu. Kama kichwa hakiko poa lazima kuna sababu. Isije ikawa Super Villain kakufanyia mtima nyongo
Mzee niamini mimi, katika siku kichwa changu cheupe ni leo ila nahisi nimekizoesha vibaya kama siku tatu hivi
Huu ndio wali na kabichi?NdioWakati mwingine...kimya kimya inapendeza.
Leo pamechangamka
Alafu mwanamke unakula kichwa

Pamoja pal.Niwatakie ulinzi mwema, tukiamka salama tutasomana tena kesho.
Poa 😂😂😂 kwa hao wahindi sibishi.Subiria kula panya na paka.
Cha kukaanga lakiniAlafu mwanamke unakula kichwa![]()