JamiiForums Usiku wa manane
Hivi ushawahi kuwa na jirani anakoroma kama gari bovu? Fikiria kuna ukuta lakini hadi chumbani kwangu namsikia.
Mtu anakoromaaaaaaaaaaaaa
😂😂😂😂😂
Nilishawahi kulala Na mtu anakoroma jamani ile siku nilitamani pakuche haraka, nikawa najipoza kwa kumsukuma kidogo anashtuka anaacha kukuroma. Zikipita dk 10 huyo anaanza tena....ni mateso
 
Back
Top Bottom