Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 5,666
- 11,125
π΄π΄π΄π΄π΄π΄πππππ
Nilishawahi kulala Na mtu anakoroma jamani ile siku nilitamani pakuche haraka, nikawa najipoza kwa kumsukuma kidogo anashtuka anaacha kukuroma. Zikipita dk 10 huyo anaanza tena....ni mateso