Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Pole mkuu, usijali mambo yatakuwa okay.
I see. Kwa maneno mengine waliomo humu sio wife materials mzee. Please fafanua kidogo based on your experiences.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Haya rithi huyo mke mwenye ukimwiMy wife wake kaniahidi mimi wewe unaanza kushoboka. Omba shamba lako la mgeta mzee.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk

Niacheni aseeNakomaa nae hadi atuonyeshe pesa kaweka wali. Sio kwa kula bata namna ile halafu akose cha kuturithisha.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
To go back where? Do you know where you were? Do you know your mission in here?Na hao wanaohitaji mara nyingi sana huwa hawadumu. Inawezekana pia mission iliyokuleta duniani ishakamilika. So what are you waiting to go back?
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Hatimaye ombi lako limeitikiwa vyema...View attachment 1422280
Rudisha hii avatar please, ilikuwa inanipa appetite !
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Hili tatizo na kila siku lazima tuzinguane na boss wangu. Huwa anatoa maelekezo yakufuata lakini lazima nitakengeuka. Kwa mfano kutuma email kwa watu wengi kwa ajili ya approval naonaga jau. Namtumia yeye tu then namwambia wengine washakubaliana nalo.True dat mzee..
Mtu anakuwa si mzuri kuongea yaani bora kuviandika. Ila kwangu mimi naona ni kama vile introverts wanakuwa hawahitaji sana approval kutoka kwa watu wengine na ile ability ya kuishi independently inawafanya waone kuwa "si lazma kueleweka na watu wengine"
Oya utaniachia ile glass basi simissNakomaa nae hadi atuonyeshe pesa kaweka wali. Sio kwa kula bata namna ile halafu akose cha kuturithisha.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk

Unajuaje kama bado? Ukiondoka wengine watakuja kuliendeleza pale ulipoacha.Bado mzee mission yangu bado.. nimefanya vitu toka nikiwa mdogo lakini sijatumia hata robo ya potential yangu so bado sanaa.. nahitaji kuishi
Nachopenda ww upendiTrue Binadamu hatupo sawa na tuna mahitaji tofauti... anachoeza vumilia vila ni tofauti na mimi na apendacho pia vile vile ..
Ni sawa na mtu aseme anapenda aliyetulia sana, mwingine anaona mtu wa hivyo ni boring you see![]()

embu acha uwongo wako.Hahaha, umenikumbusha Sikamona wa zawadi ya ushindi.


umeona eee.Unatakiwa ufunge geti sasa leoLeo mapema nacjukua zamu ila sitadumu Sana kama wakuu wangu kina Rowin, simiss, yna2, Drizzle Super Villain
Kwani kuna kesi yoyote ulishaambiwa kuwa ana mimba yako mzee?Swala ni kwamba sijawahi mpa mimba mwanamke yeyote leo hii ndio nasingiziwa![]()