JamiiForums Usiku wa manane
Hili tatizo na kila siku lazima tuzinguane na boss wangu. Huwa anatoa maelekezo yakufuata lakini lazima nitakengeuka. Kwa mfano kutuma email kwa watu wengi kwa ajili ya approval naonaga jau. Namtumia yeye tu then namwambia wengine washakubaliana nalo.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk

😂😂😂😂😂😂
niliambiwa job is an offer na huez panga offer iweje.. introverts hawaez kubaliana na hili maana wengi ni smart beings
 
IMG_20200412_000159_638.jpg
IMG_20200412_000059_339.jpg
Wapendwa katika bwana mnaona wenzetu wanavyoweka lenta ya nyumba?
 
To go back where? Do you know where you were? Do you know your mission in here?
How do you know that you have accomplished what brought you here?
This is a starting point..... Let's go
Ukiona umedanch jua mission yako iko accomplished. Unarudi kuwa mafuta na gas ya miaka 20 ijayo.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom