JamiiForums Usiku wa manane
Siogopi kufa. Naogopa kuondoka kabla ya kufanikisha hata moja ninalolifikiria

Kufariki huku unahitajika na watu flani.. siez imagine mzee bora niitwe muoga
Na hao wanaohitaji mara nyingi sana huwa hawadumu. Inawezekana pia mission iliyokuleta duniani ishakamilika. So what are you waiting to go back?

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Introvert wanaonekana hawapendi kushare vitu waziwazi. Sio kwamba hawana makini la hasha. Ila nadhani ni ile hali ya kuona noma mbele za watu.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk

True dat mzee..
Mtu anakuwa si mzuri kuongea yaani bora kuviandika. Ila kwangu mimi naona ni kama vile introverts wanakuwa hawahitaji sana approval kutoka kwa watu wengine na ile ability ya kuishi independently inawafanya waone kuwa "si lazma kueleweka na watu wengine"
 
Na hao wanaohitaji mara nyingi sana huwa hawadumu. Inawezekana pia mission iliyokuleta duniani ishakamilika. So what are you waiting to go back?

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk

Bado mzee mission yangu bado.. nimefanya vitu toka nikiwa mdogo lakini sijatumia hata robo ya potential yangu so bado sanaa.. nahitaji kuishi
 
Back
Top Bottom