Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
Hahaha wewe vipi habari yako ?Mjeshi hii mood ya leo.. itabidi nikutumie jina langu halisi ili na mimi uniombee![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha wewe vipi habari yako ?Mjeshi hii mood ya leo.. itabidi nikutumie jina langu halisi ili na mimi uniombee![]()
Tutazinguana wenyewe kwa wenyewe. Komaa na utakachoandikiwa sio unaweka tamaa kwenye urithi wangu.
Usiogope mzee. Kufa hakuna tarehe wala muda maalum. Be ready.
Super Villain please lea mtoto kama yupo mzee. Sio poa ujue.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Kama kunyoosha nguo?Dah, kazi ya ulinzi inaanza kuniwea ngumu sasa.
Kama kunyoosha nguo?
Introvert wanaonekana hawapendi kushare vitu waziwazi. Sio kwamba hawana madini la hasha. Ila nadhani ni ile hali ya kuona noma mbele za watu.Nilisahau mzee..
Hizo mada za introvert na extrovert huwa haziishi discussion
Wife materials wanatokea kijiji ?Unataka nitaje ili niharibu mission
Wife materials huwa hawaijui jf wala smartphone..
Unataka nitaje ili niharibu mission
Wife materials huwa hawaijui jf wala smartphone..



NinomaKuna ile Just Beat huwa siichoki kabisa
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Usiogope mzee. Take it easy.wosia unatetemesha ndugu zangu na hii corona naanza hata kupata dalili
Introvert wanaonekana hawapendi kushare vitu waziwazi. Sio kwamba hawana makini la hasha. Ila nadhani ni ile hali ya kuona noma mbele za watu.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Umepotea kama Zilipendwa.
Mara moja moja sio mbayaNzuri..
leo naona umepewa ufunuo na ni njema sana kutusambazia upendo pia
Komaa mzee baba. Unaweza pata zawadi ya ushindi.Rowin ananiambia tuanze kazi ya kumtafuta chiqutitta. Kuna mahali kafichwa
Unahitaji tukusaidieHahaha, hii nayo ni changamoto pia.
Tutazinguana wenyewe kwa wenyewe. Komaa na utakachoandikiwa sio unaweka tamaa kwenye urithi wangu.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
I seeUnataka nitaje ili niharibu mission
Wife materials huwa hawaijui jf wala smartphone..


. Kwa maneno mengine waliomo humu sio wife materials mzee. Please fafanua kidogo based on your experiences. Usiogope mzee. Kufa hakuna tarehe wala muda maalum. Be ready.
Super Villain please lea mtoto kama yupo mzee. Sio poa ujue.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk


Huyo baby mama mwenye mtoto wangu aniletee nilee basi kama mnamjua.