JamiiForums Usiku wa manane
A
mkuu when I do, I do like it's my last day in this world 😏😏😏oooops tayal apa Nina maji tiririka na sanitizer Leo kwata inapigwa ndan hakuna kukusanyika apa 😁😁😁ooooh one more thing mask on 😷😷😷stay safe too
😂😂😂 "when you do you do"😂😂😂


Stephen Chelu njoo cheki balaaa la mlinzi huku
 
Warumi 7:22
Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani, lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali,

Inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu

Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Warumi 7:22
Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani, lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali,

Inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu

Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtume Paulo huyo.......
 
Warumi 7:22
Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani, lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali,

Inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu

Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenigusa sana sana kwa mistari hii hadi nikaacha pombe yangu
 
Back
Top Bottom