Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Utavuna ndizi na soko litakuwa pale mabibo. Nitakuwa nakuja kununua.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk


Ngoja nichangamkie hiyo fursa ya urithiUtavuna ndizi na soko litakuwa pale mabibo. Nitakuwa nakuja kununua.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk


Ngoja nichangamkie hiyo fursa ya urithiHuyu jamaa alikuwa moto wa kuotea mbali.MJ - give to me
MJ kaondoka na Pop song yake
Kabisa wala ujakosea mzee wangu.
@Goddess tafadhali mamaKabisa wala ujakosea mzee wangu.
Jamaa anafurahi urithi tu.Wewe cheka tu.. unadhani urithi unatolewa kidhembe
Nyimbo wengine hatuja zaliwa lakini fellings nayopata utasema kaimba jana bhanaHuyu jamaa alikuwa moto wa kuotea mbali.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
MJ legend 
Jamaa anafurahi urithi tu.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Hii dua nakuanchia ww ndio fundi wa hizi mambo

Nyimbo wengine hatuja zaliwa lakini fellings nayopata utasema kaimba jana bhanaMJ legend
![]()
Mzee corona hii andika huo wosia mapema tu.Wewe cheka tu.. unadhani urithi unatolewa kidhembe
Na wewe unawinda urithi wa manzi yangu.... joh hutotambulishwa shemeji yako ..kaa na latinas tu mzee


nataka nihakikishe yale yalikuwa yanakufanya ugalegale kama kambale jama kweli au zuga tu.Mzee corona hii andika huo wosia mapema tu.
Duh yamekuwa hayo tena. Ila nataka a rest in peace naturally.Hii dua nakuanchia ww ndio fundi wa hizi mambo![]()
MJ is something elseMJ bhana alikuwa genius...
I will be there..hiyo ngoma sijawahi kuichoka na aliiandika mwenyewe. Feelings zake
Na hivi cases zimezidi kuchanja mbuga ni bora tusikose vyote. Yaani mtu na mali zake.Mzee corona hii andika huo wosia mapema tu.
Hata sijui...tumtafuteHivi chiqutitta kafichwa na nani?
nataka nihakikishe yale yalikuwa yanakufanya ugalegale kama kambale jama kweli au zuga tu.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk