JamiiForums Usiku wa manane
Sijaelewa Kiaje mkuu? Kwa sababu hapo points ni kwamba sipendi kuzurura zurura kama sina kazi most of the time napenda kukaa nyumbani na usiku huwa nalala mapema sana sisubili au kumfatilia mwanaume azurure weeeeee akirudi yeye anipe haki yangu kisawasawa tu


Cc Smart911
Comment zenu zinatutia kwenye ushawishi wa kuzini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu. . Sometimes huwa unalalamika hadi unatia huruma !!

Cc Smart911



Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia vizuri shida yangu kubwa ipo kwenye mawasiliano.. Sijui how to commun..
Kusimama na kuongea mbele za watu shida sana na nikiongea I worry about every word.
Sio siri Hua naonea wivu ninyi mnaoweza kuongea kila mnachojisikia bila kujali..Imagine mm hua naandika nipo normal sometimes niko nasmile kabisa ila naambiwa nalalamika. Ila mm sioni kabisa
 
Sijaelewa Kiaje mkuu? Kwa sababu hapo points ni kwamba sipendi kuzurura zurura kama sina kazi most of the time napenda kukaa nyumbani na usiku huwa nalala mapema sana sisubili au kumfatilia mwanaume azurure weeeeee akirudi yeye anipe haki yangu kisawasawa tu


Cc Smart911

Sent using Jamii Forums mobile app
Smart911 hapa amepata haswaa kazi kwake wenye wivu wajinyonge tuuu
 
Pole sana mkuu. . Sometimes huwa unalalamika hadi unatia huruma !!

Cc Smart911



Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia vizuri shida yangu kubwa ipo kwenye mawasiliano.. Sijui how to commun..
Kusimama na kuongea mbele za watu shida sana na nikiongea I worry about every word.
Sio siri Hua naonea wivu ninyi mnaoweza kuongea kila mnachojisikia bila kujali..Imagine mm hua naandika nipo normal sometimes niko nasmile kabisa ila naambiwa nalalamika. Ila mm sioni kabisa
 
Ukijiamini tu umemaliza. Life is yours kwanini uogope?? Relax bana wee mwanaume unatakiwa kujiamini
Na mwanaume usipojiamini tu Umekosa points 3 za Mezani! Kama hapa tupo nyuma ya keyboard nothing to worry bro be confident chill na ujiachie bana
Cc Smart911
Ukiangalia vizuri shida yangu kubwa ipo kwenye mawasiliano.. Sijui how to commun..
Kusimama na kuongea mbele za watu shida sana na nikiongea I worry about every word.
Sio siri Hua naonea wivu ninyi mnaoweza kuongea kila mnachojisikia bila kujali..Imagine mm hua naandika nipo normal sometimes niko nasmile kabisa ila naambiwa nalalamika. Ila mm sioni kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom