JamiiForums Usiku wa manane
Yaani kila nikiwaza nakosa majibu ya haraka kwanini hatukufunga mipaka na kuzuia safari za ndege kuingia nchini at first place wenzetu/majirani walipoanza kuripoti cases zao?!
Tumejitakia yenyewe, I better only listen to experts kuliko hawa wanasiasa
Bado hujui hata system inayoenda lockdown unaijua ww na gharama zake
 
Yaani kila nikiwaza nakosa majibu ya haraka kwanini hatukufunga mipaka na kuzuia safari za ndege kuingia nchini at first place wenzetu/majirani walipoanza kuripoti cases zao?! 🤔
Tumejitakia yenyewe, I better only listen to experts kuliko hawa wanasiasa😤😤

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: mahondaw
 
Yaani kila nikiwaza nakosa majibu ya haraka kwanini hatukufunga mipaka na kuzuia safari za ndege kuingia nchini at first place wenzetu/majirani walipoanza kuripoti cases zao?! 🤔
Tumejitakia yenyewe, I better only listen to experts kuliko hawa wanasiasa😤😤
ha ha ha mkuu uhai wako uko mikononi mwako kwanza,kwa sababu ilishatokea....cha kufanya kwa sasa ni kujiwekea mkakati wa namna ya kuvuka hii 2020 ukiwa mzima
 
Sizungumzii lockdown... ofcoz lockdown ina negative impact...

Nazunguzmia hiyo kwa nini kutokufunga mipaka mapema...

Ni ubishi wa binadamu wa siku hizi...


Cc: mahondaw
Unafunga mipaka iliuzuie corona? Kenya sindio wakwanza kufungua kiko wapi walifunga kabla hata ya nchi yeyote hapa EA natamani nikuambie na vitu vingine hatakama mpaka ungefungwa hali ingekuwa vile vile lakini acha nikaushe tu.
 
Back
Top Bottom