Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Yaani kila nikiwaza nakosa majibu ya haraka kwanini hatukufunga mipaka na kuzuia safari za ndege kuingia nchini at first place wenzetu/majirani walipoanza kuripoti cases zao?!
Tumejitakia yenyewe, I better only listen to experts kuliko hawa wanasiasa![]()


Bado hujui hata system inayoenda lockdown unaijua ww na gharama zake

Lakini hakuna tabu unapikiwa tu saiz ukilala mpaka saa 4 unaamshwa chai teyari kila kitu nk...