JamiiForums Usiku wa manane
Mkuu hili jambo lisikie mbali,tutakufa na njaa + mawazo n.k
Yaani kila nikiwaza nakosa majibu ya haraka kwanini hatukufunga mipaka na kuzuia safari za ndege kuingia nchini at first place wenzetu/majirani walipoanza kuripoti cases zao?! 🤔
Tumejitakia yenyewe, I better only listen to experts kuliko hawa wanasiasa😤😤
 
Back
Top Bottom