Nakfa
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,979
- 14,400
Wameimba kwaya gani hiiAleluya, aleluya, aleluya, aleluya, ale-luya
amefufuka alivyosema.×2
siku hii ya Bwana, tukufu tuifurahie na tuishangilie
Kristu amefufuka ni kweli ni kweli aleluya aleluya
amefufuka kama alivyosema.
hiyo hapo....me napenda lile base na vile wanavyopishana KE&ME




Badadaaa.
