JamiiForums Usiku wa manane
Ujakutana na zombie huko
Hamna kitu makaburini kunakuwaga kimya ila wakati napita nilihisi Kuna mtu maana alikuwa anaziba mwanga wasimu kwa mkono nisimuone ila hakunisumbua ila kulikuwa na mtu na alijisahau mwanga wa simu kuuzima thou alikuwa mbali Kama KABURI la tano toka nilipopita ambapo Kuna kakichaka.
 
Embu weka lyrics zake chache
Aleluya, aleluya, aleluya, aleluya, ale-luya
amefufuka alivyosema.×2
siku hii ya Bwana, tukufu tuifurahie na tuishangilie
Kristu amefufuka ni kweli ni kweli aleluya aleluya
amefufuka kama alivyosema.
hiyo hapo....me napenda lile base na vile wanavyopishana KE&ME
 
Mi nishazoea kupita makaburini Kuna siku nilitumbukia kwenye KABURI lililotitia Sana usiku wa Giza saa Saba na niliteleza tope la mvua mpaka kaburini nahisi nililikanyaga jeneza kabisa na Wala sikuona ishu .
 
Mi nishazoea kupita makaburini Kuna siku nilitumbukia kwenye KABURI lililotitia Sana usiku wa Giza saa Saba na niliteleza tope la mvua mpaka kaburini nahisi nililikanyaga jeneza kabisa na Wala sikuona ishu .
Hahaha umenifanya nicheke sana mkuu. Saa saba unapita maeneo hayo kugundua nini hasa?!
Kwa habari za Mshana Jr ukiona hivyo jua watu walishafukua hapo na kufanya yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom