God is Dead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,313
- 1,531
Manzee depal nikikupata ntakupenda kama vile napenda tamblerUna kitambi, nikikupea utawezana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Manzee depal nikikupata ntakupenda kama vile napenda tamblerUna kitambi, nikikupea utawezana?
Embu weka lyrics zake chacheMe naipenda ile halleluya kuu
Sio mchepuko una approach kwa nyumba kweli.2:02
Nasikia vishindo vya mbio uko nje.. nilale tu
Mzee umeamua ufunguke kila la kheri mzee baba

Haha wa nyumbani wa kufa na kuzikana,siwezi kukutenga kabisa😂😂😂😂😂 Jamani ya kawaida tu..usinitenge wa nyumbani
Ahsante wa nyumbani Sasa wacha nilaleHaha wa nyumbani wa kufa na kuzikana,siwezi kukutenga kabisa
Saiz mzeeMuda wa kutafuta msosi huu 18:15
To sleep is for the Rich,usilale hahaAhsante wa nyumbani Sasa wacha nilale
Yeah huku bado jioni na ni tarehe 14 kiongozi.Saiz mzee
Mbuzi kapita kwa muuza supu mkuu.Mzee umeamua ufunguke kila la kheri mzee baba![]()
Yeah huku bado jioni na ni tarehe 14 kiongozi.


Basi umevunja sheria za uzi huko kwenu sio usiku wa manane


Na kwako pia hommie.Siku njema waungwana.![]()
