We mzee mbona unamajaribu😀😀😀Mungu anakuona 😂
Kila nikiingia uzi huu wa usiku wa manane nawe umo haha.ngoja nitoke kwenye uzi huu ,isije ikawa Corona hiyo haha.pole sana😂😂😂. Wanyumbani mbona huwa nalala Sana tu leo tu mafua yameniotea
😀😀😀
Base linaumiza koo
Ngoja bado bado mpaka saa 8 labda anaweza kuja mzee wangu.Waungwana naona mtoto mzuri leo amesusa kuja humu.
Ngoja nirudi niliko toka.
Nawe pia Don....zima data ulaleUsiku mwema.
Nawe pia Don....zima data ulale
Ngoja bado bado mpaka saa 8 labda anaweza kuja mzee wangu.
We zinakufaa sehemu za kuguna zile kwa mfano wanaimba Amefufukaaa kweli amefufukaaa wewe na wenzio mnapita ma mmmmmmmmh huuuuuuuuooooooooooh! 😝😀😀😀
Base linaumiza koo
😂😂😂😂😂 Jamani ya kawaida tu..usinitenge wa nyumbaniKila nikiingia uzi huu wa usiku wa manane nawe umo haha.ngoja nitoke kwenye uzi huu ,isije ikawa Corona hiyo haha.pole sana
Mambo mazuri hayataki haraka ujue.Pumzi zinakata aisee.
Usiku mwema mchuchu.ukinipea sitaambia mtu1:49 narudi kulala naona mvua inaishia chini tu
Haha hapo sasa unadanganya... Kwenye ile nyimbo hizo mhhhhh hazipo.We zinakufaa sehemu za kuguna zile kwa mfano wanaimba Amefufukaaa kweli amefufukaaa wewe na wenzio mnapita ma mmmmmmmmh huuuuuuuuooooooooooh! 😝
Una kitambi, nikikupea utawezana?
Me naipenda ile halleluya kuuAaamefufuka bwana wetu Yesu kristo uuukombozi umefika kwetu halleluya ameshinda mauti tukamwimbie tuimbe halleluya tumshangilie (amefufuka aametoka kaburini yu mzima bwana wetu aliyetoa uzima wake kwa ajili yetu)
Mtazameni Simba wa milele aaamefufuka haleluya aaameshinda mauti tukamwimbie
Vigelegele tafadhali
Uzima tumerudishiwa (wanaume halleluya halleluya aaaleluyaaa) aaamefufuka Kristo mtawala mleta tumaiini kwa watu wote (wanaume halleluya halleluya) hahaha unaweza ukawa mwendawazimu 😂Haha hapo sasa unadanganya... Kwenye ile nyimbo hizo mhhhhh hazipo.