JamiiForums Usiku wa manane
Mm sikupata hiyo bahati kusoma Shule. Mafundisho ya ukatukumeni yanachukua muda wa miaka 2 ili mtu kua tayari kufanya mtihani na kupewa komonio.
Mimi nilifuata wiki 2 ambapo nilihudhuria siku 5 tu kutokana na shule. Luckily nikapasua kushinda waliofuata 2yrs
Hukupewa maswali konki ww acha kabisa kuhusu Bible mzee.
 
Fafanua kidogo please....ukatukumeni kwa jina rahisi ni mafundisho yapi? Hiyo komunio ni ile ya kwenye sakramenti za kanisa?
Komunio/Komunyo/Communion sakramenti..
Hii wanapewa watoto wa kuanzia darasa la 6 au 5.

Sasa sisi watu wazima tuliochelewa kubatizwa (mimi nilibatizwa utotoni),waliochelewa kupata sakramenti ya kipaimara na komunio hua kuna mafundisho yake yanaitwa Wakatukumeni..Unafuata kwa muda wa miaka 2 kujifunza imani ya kanisa katoliki. Ili kujua umeiva hua kuna mitihani after 2yrs. Ukifaulu ndio unapewa komunyo/kipaimra (Ubarikiwa)
 
Aisee ndio nimejua Leo....shukrani sana
Komunyio mbona nilipata nikiwa na miaka 8 tena nilichelewa wenzangu walipata wakiwa na miaka 7(darasa la 3)
Anyway...utaratibu waweza kutofautiana na mahali ulipo.
Komunio/Komunyo/Communion sakramenti..
Hii wanapewa watoto wa kuanzia darasa la 6 au 5.

Sasa sisi watu wazima tuliochelewa kubatizwa (mimi nilibatizwa utotoni),waliochelewa kupata sakramenti ya kipaimara na komunio hua kuna mafundisho yake yanaitwa Wakatukumeni..Unafuata kwa muda wa miaka 2 kujifunza imani ya kanisa katoliki. Ili kujua umeiva hua kuna mitihani after 2yrs. Ukifaulu ndio unapewa komunyo/kipaimra (Ubarikiwa)
 
Aisee ndio nimejua Leo....shukrani sana
Komunyio mbona nilipata nikiwa na miaka 8 tena nilichelewa wenzangu walipata wakiwa na miaka 7(darasa la 3)
Anyway...utaratibu waweza kutofautiana na mahali ulipo.
Ni kweli hata mm baadhi ya wadogo zangu wamepata wakiwa darasa la 4 wengine la 3.
Mimi nimepata April 4 mkesha wa pasaka miaka kadhaa iliyopita
 
Nahisi wangeifanya tuipate ukubwani...tunakuwa tumekomaa...maana mimi nilimeza katekisimu kipindi kile...kwa sasa sikumbuki mengi
Ni kweli hata mm baadhi ya wadogo zangu wamepata wakiwa darasa la 4 wengine la 3.
Mimi nimepata April 4 mkesha wa pasaka miaka kadhaa iliyopita
 
Trust me..
Usiombe vitu vya wakatoliki hua hawabahatishi unajua na hawana lelemama kwenye mafundisho yao. Unaulizwa vitu konkii ukizingatia sisi ni watu wazima.
Labda uulize siri ya kufaulu ilikua nini!
Mambo ya wafilistine huko mara unapigwa kwakina Daudi huku mara unapigwa wafalme, hesabu ujakaa sawa unakutana na wakina mtume Barnaba na Paulo acha tu.
 
Back
Top Bottom