JamiiForums Usiku wa manane
Vitabu 66 unasoma shule mzee acha tu na mitihani yake ni migumu kinoma.
Mm sikupata hiyo bahati kusoma Shule. Mafundisho ya ukatukumeni yanachukua muda wa miaka 2 ili mtu kua tayari kufanya mtihani na kupewa komonio.
Mimi nilifuata wiki 2 ambapo nilihudhuria siku 5 tu kutokana na shule. Luckily nikapasua kushinda waliofuata 2yrs
 
Back
Top Bottom