Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Mara ya mwisho kuumwa ilikuwa ni 2010 immunity yangu iko strong nilivyo ni kama mom yangu alivyo sio watu wakuumwa sana hata kulazwa sijawahi kabisa naweza umwa malaria na nikafanya shughuli zangu.Unapenda dawa eeehh?
GoodKwa hardcopy natumia Gideon Version. Ya zamani kidogo..Kwa software natumia yoyote yenye vitabu vyote vya RC
Vitabu 66 unasoma shule mzee acha tu na mitihani yake ni migumu kinoma.Hahahaha shida hio
Mchezo umeshaisha teyari hapo.Kitu pekee kinetesacho maishani ni Mafua. Kama korona ni mafua makali ikinipata will be very easy to go.Mara ya mwisho kuumwa ilikuwa ni 2010 immunity yangu iko strong nilivyo ni kama mom yangu alivyo sio watu wakuumwa sana hata kulazwa sijawahi kabisa naweza umwa malaria na nikafanya shughuli zangu.
Mara ya mwisho kuumwa ilikuwa ni 2010 immunity yangu iko strong nilivyo ni kama mom yangu alivyo sio watu wakuumwa sana hata kulazwa sijawahi kabisa naweza umwa malaria na nikafanya shughuli zangu.
mm nipo naangalia muv sipo kitandani.Nina swali la kichokozi. Ina maana wote ambao tuko hewani muda huu tuko wenyewe vitandani mwetu? Kwa kweli the world ain't fair.
Hahahaha sasa hivi unatakiwa uwe umefungua kanisa lako. Kumbe kianzio unacho? Njoo tufungue huduma tutaaita Elli International Chapel (EIC)! Njoo tupige pesaVitabu 66 unasoma shule mzee acha tu na mitihani yake ni migumu kinoma.
Dah hongera sana, mi pombe yote imekatamm nipo naangalia muv sipo kitandani.
Nina swali la kichokozi. Ina maana wote ambao tuko hewani muda huu tuko wenyewe vitandani mwetu? Kwa kweli the world ain't fair.
Corona bhana hata kuelezea naogopa maana unaweza jikuta upo central keshoKitu pekee kinetesacho maishani ni Mafua. Kama korona ni mafua makali ikinipata will be very easy to go.

Sasa nifanyeje? Nitoke niende club??Hapana haiwezekani....utakuwa wewe tu ndio uko kwa bed...
Mm sikupata hiyo bahati kusoma Shule. Mafundisho ya ukatukumeni yanachukua muda wa miaka 2 ili mtu kua tayari kufanya mtihani na kupewa komonio.Vitabu 66 unasoma shule mzee acha tu na mitihani yake ni migumu kinoma.
Ni nature ya mwili wangu tu hivyo basi namshukuru Mungu wengine wanateseka sana na magonjwa duniani hapaSafi sana....

Kitu pekee kinetesacho maishani ni Mafua. Kama korona ni mafua makali ikinipata will be very easy to go.