JamiiForums Usiku wa manane
Mm sikupata hiyo bahati kusoma Shule. Mafundisho ya ukatukumeni yanachukua muda wa miaka 2 ili mtu kua tayari kufanya mtihani na kupewa komonio.
Mimi nilifuata wiki 2 ambapo nilihudhuria siku 5 tu kutokana na shule. Luckily nikapasua kushinda waliofuata 2yrs
Fafanua kidogo please....ukatukumeni kwa jina rahisi ni mafundisho yapi? Hiyo komunio ni ile ya kwenye sakramenti za kanisa?
 
Nadhani hivyo.. si unakumbuka kipindi kile cha mwaka mpya nikawa hoii kisa mafua!
Ugonjwa wa maskio pia uliletwa na mafua toka 2017. Nikiumwa mafua nasikia kama nyembe zinanichana ndani ya maskio
Ooh itakuwa hivyo basi
Hata kama una mafua makali hivyo na corona inatisha amini Mungu atapigania afya yako .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom