Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Aaaaaaaaamen! Ubarikiwe wewe na uzao wako wote
Aaaaaaaaamen! Ubarikiwe wewe na uzao wako wote
DadeeekiEeh mzee wangu ndio siku ya Yuda imeanza hivyo.
Kwa hakika sisi wote ni dhambi na tumepungukiwa utukufu wa MunguJe unadhani inampasa Yuda kua condemned to hell or in heaven
Weekend ya kusalitiana hii 😁Dadeeeki
It's true japo mm mkatoliki ila naona kanisa langu limefanya watu wakawa na mtazamo mbaya juu ya Yuda. Ahukumiwe kwa kujiua ila sio kumsaliti Yesu!Kwa hakika sisi wote ni dhambi na tumepungukiwa utukufu wa Mungu
Tusihukumu kuwa Judah ataenda moyoni au mbinguni
God is the supreme judge ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamuunga mkono muasisi waoWeekend ya kusalitiana hii 😁
Ooh ni kweli kabisaIt's true japo mm mkatoliki ila naona kanisa langu limefanya watu wakawa na mtazamo mbaya juu ya Yuda. Ahukumiwe kwa kujiua ila sio kumsaliti Yesu!
Don't mess with ya health. Koroga uji au toka nje kama yawezekana ule. Ikishindikana kabisa LalaNimekumbuka Niko na apple moja. Ngoja nilitafune
Nimekumbuka Niko na apple moja. Ngoja nilitafune
wekaga vinywaji kwenye fridge na misosi kama mkate maziwa, Juice nk.. mm huwa nafanya hivyo.Not bounded..it was a fate.
Aagh wapi!! Kutambazuka Mpwa, no way. Kuna mshenzi nasikia harufu ya kitimoto ndio njaa inazidi. PumbavuDon't mess with ya health. Koroga uji au toka nje kama yawezekana ule. Ikishindikana kabisa Lala
Humu Lodge? Niko Mbeya huku ugeniniwekaga vinywaji kwenye fridge na misosi kama mkate maziwa, Juice nk.. mm huwa nafanya hivyo.
Sure thingNot bounded..it was a fate.
He lived and fulfilled his Purpose..Ikumbukwe kusudi hutoka kwa Mungu!
Jogoo hafi kwa utitiri..Hope umepambana na mengi magumu katika unri huo. Komaa tuAagh wapi!! Kutambazuka Mpwa, no way. Kuna mshenzi nasikia harufu ya kitimoto ndio njaa inazidi. Pumbavu
Aagh wapi!! Kutambazuka Mpwa, no way. Kuna mshenzi nasikia harufu ya kitimoto ndio njaa inazidi. Pumbavu


Ijumaa Kuu hakuna kula nyama mzeeNajaribu jaribu mkuu..
Basi leo utaeleza na hilo baridi sio mchezoHumu Lodge? Niko Mbeya huku ugenini