JamiiForums Usiku wa manane
Huu ndio ule usiku wa Wasaliti wote akina Yuda wote huu ndio muda wenu wa kumkumbuka muasisi wenu. Usiku huu ndio Yuda Iskariote na Petro wakimkana Kristo, dadeeki unafiki kiwango cha Safina ya Nuhu.

Binadamu wanafiki sana sana ndio maana niliamua kujiamini na kujitegemea alone
 
Huu ndio ule usiku wa Wasaliti wote akina Yuda wote huu ndio muda wenu wa kumkumbuka muasisi wenu. Usiku huu ndio Yuda Iskariote na Petro wakimkana Kristo, dadeeki unafiki kiwango cha Safina ya Nuhu.

Binadamu wanafiki sana sana ndio maana niliamua kujiamini na kujitegemea alone
Huu ndio usiku muhimu sana katika maisha ya mwanadamu..Roho mtakatifu anamuongoza Yuda kutimiza Ukombozi wa mwanadamu
 
Back
Top Bottom