JamiiForums Usiku wa manane
Dawa mzee ukimchinjia mdudu au mbuzi maini yapo salama

Sent using Jamii Forums mobile app
dah umenikumbusha mbali sana mm pombe situmii lakini nina bro zangu ni tatizo hao jan mwaka huu tulichinja mbuzi tulikuwa tupo wa 5 tu huwezi amini yule mbuzi ilitupwa ngozi tu wali walipiga na hivyo vitu vyako vikali hata sikuamini liletukio.
 
Kama sio saa 10.
Pole nakuona umekaa pembeni ya mlango wa fridge... Joto litakuja liwababue mpaka akili
😆 😆 😆 😆 leo nimehama nipo upande wa dirishani lakini jana niliogopa mpaka nikasema uliwaza nn kuotea vile embu nyosha maelezo kwanza bibie.
 
😆 😆 😆 😆 leo nimehama nipo upande wa dirishani lakini jana niliogopa mpaka nikasema uliwaza nn kuotea vile embu nyosha maelezo kwanza bibie.
😀😀😀 sina pasi hapa kuyanyoosha itakuwa ngumu mpaka jirani aamke nikaombe.
 
Back
Top Bottom