Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
ilikuwa sio poa mzee unaweza fika om kwa kutambaa vile vitu.
ilikuwa sio poa mzee unaweza fika om kwa kutambaa vile vitu.
bado muda saa 10 nitajipeleka mwenyewe kitandani nikautafute kilazima.Unasinzia....ulale
hii heartless weekend kafanya mabalaa humu.
😂😂😂 we jizeeshe tu kilazimabado muda saa 10 nitajipeleka mwenyewe kitandani nikautafute kilazima.
Hizo kelele zitakazotokea hapo 🙌
unaogopa sana mende 😆 😆 😆Hizo kelele zitakazotokea hapo 🙌
Siwapendi....halafu eti ndio nimkute katulia hivyo kwenye dining table yake!!? Hapatatoshaunaogopa sana mende 😆 😆 😆
😆 😆 😆 wadudu waaribifu kuna wengine wakimkuta tu bafuni hawezi hata kuoga tena na uwoga ndio unazidi!Siwapendi....halafu eti ndio nimkute katulia hivyo kwenye dining table yake!!? Hapatatosha
bhana we vitanda vimelowa maji mzee wangu
mzee bado upo nitakuachia funguo za ofisi maana naona kazi ishaanza kunishinda hii.
mzee bado upo nitakuachia funguo za ofisi maana naona kazi ishaanza kunishinda hii.
😆😆😆 hapa mwananchi toka saa 5 nipo humu ujue ngoja nijilazimishe tu nilale.


04:10 bado haijafika saa yako mbovu hiyo baharia