Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Haupo kitandani usiku huu upo wapi? Au umekaa jikoni 😀😀😀🏃🏃🤣 🤣 🤣 🤣 ukija dar au kama unashost yako muagizie tu kwakwenu huko chukua dozen kabisa iliusipate tabu.
Kunywa Lions Hill.....utasinzia chap, ni wine hiyo.dah yaan sia usingizi hata naweza fika hata saa 12 hapa lakini acha nikautafute usingizi kitandani sasa maana itabidi hata nijiurumie kidogo maana this is too much Depal
jikoni nifuate nn saiz 🤣🤣🤣 nipo kwenye coach tu hapaHaupo kitandani usiku huu upo wapi? Au umekaa jikoni 😀😀😀🏃🏃
Dozen niweke ndani? Kwani nafanya biashara
Haha aisee.hamna mm natumia PC nimeunga na wireless ya simu tu muda wote charge inawezaisha nikaweka series mpaka saa 12 hapa.
Alfajiri njema
pombe sinywi kabisa na nguo chafu huwa sipendi kuziona kwahiyo huwa nikioga nafua hapo hapoKunywa Lions Hill.....utasinzia chap, ni wine hiyo.
Au amka ukafue kabisa then urudi kuutafuta
Umekaa mlangoni mwa fridgejikoni nifuate nn saiz 🤣🤣🤣 nipo kwenye coach tu hapa
Oh sheikh sorry 🏃pombe sinywi kabisa na nguo chafu huwa sipendi kuziona kwahiyo huwa nikioga nafua hapo hapo
ndio nn hiyo novel? 😳Haha aisee.
Chukua novel utafutie usingizi ( nikikosa usingizi uwa nafanya hivyo chap tu unakuja.
Riwaya...au basi kitabu chochote tundio nn hiyo novel? 😳
karibia na hapo unaniona nn mbona unaniogopesha 🤣🤣🤣Umekaa mlangoni mwa fridge
sio sheikh wala nn niutaratibu tu nimejiwekea tu.Oh sheikh sorry 🏃
🤣🤣🤣 kweli hiki kichwa nikibovu sijui niliwaza nn nikajua ni kinywaji ujue 🤣🤣🤣🤣🤣Riwaya...au basi kitabu chochote tu
poa
😀😀😀karibia na hapo unaniona nn mbona unaniogopesha 🤣🤣🤣